Genesis 23:1-2

Kifo Cha Sara

1Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba. 2 aSara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Ibrahimu akamwombolezea na kumlilia Sara.

Copyright information for SwhKC